Suche einschränken:
Zur Kasse

6 Ergebnisse.

Kufa Kuzikana

Walibora, Ken
Kufa Kuzikana
Basi liliteremka kwenye barabara iliyojisokota katika miinamo ya vilima. Nilichungulia dirishani na kuona jinsi jua lilivyovidhihirisha dhahiri shahiri vilima hivyo."Vilima gani hivi?" nilimwuliza abiria aliyeketi ubavuni pangu, mwanamume mfupi mnene. Kichwa chake kilikuwa kimeegemea bega langu. Hakujibu. Kumbe alikuwa anamenyana na usingizi. Nikamtikisa.

CHF 48.50

Nasikia Sauti ya Mama

Walibora, Ken
Nasikia Sauti ya Mama
Ken Walibora ni miongoni mwa waandishi arifu na maarufuzaidi wa fasihi ya Kiswahili waliowahi kuibuka katika AfrikaMashariki na ya Kati. Mbinu ya kalamu yake ina mvutomkubwa na uzuri wa kisanaa wa aina yake. Ameziandika tanzumbalimbali za fasihi kama vile riwaya, ushairi na tamthilia.Hata hivyo, Nasikia Sauti ya Mama ndiyo kazi yake yakwanza inayostahili kuitwa tawasifu, tawasifu inayoangaziakipande kidogo halisi cha maisha yake mwenyewe na wa...

CHF 36.50

Kalamu ya Maria Imepotea

Walibora, Ken
Kalamu ya Maria Imepotea
Maria anafurahia mwalimu anapoingia darasani. Ghafla, furaha hii inapotea na anakuwa mwenye huzuni. Anaanza kulia, machozi yanamtoka. Maria haioni kalamu yake. Kalamu ya Maria i wapi? Hadithi Mufti za Longhorn ni mfululizo mpya wa hadithi ambazo zimeandikwa kulingana na mtaala mpya. Hizi hadithi zinalenga kukuza ujuzi wa wanafunzi kupitia kwa uvumbuzi wa maarifa na zinaimarisha uelewa wao wa masuala ibuka katika jamii. Hadithi hizi si tu za ...

CHF 19.50

Ukarimu wa Maria

Walibora, Ken
Ukarimu wa Maria
Wakati wa mapumziko uwanjani, Maria anagundua kuwa rafiki yake Musa hana furaha. Musa amehuzunika na analia. Maria anamtuliza Musa na kuhakikisha kuwa ameanza kutabasamu. Je, Musa alikuwa na matatizo yepi? Maria anamsaidiaje? Hadithi Mufti za Longhorn ni mfululizo mpya wa hadithi ambazo zimeandikwa kulingana na mtaala mpya. Hizi hadithi zinalenga kukuza ujuzi wa wanafunzi kupitia kwa uvumbuzi wa maarifa na zinaimarisha uelewa wao wa masuala ...

CHF 17.90

Mtu wa Mvua

Walibora, Ken
Mtu wa Mvua
Dora yumo nyumbani ambamo amelazimika kubaki ili kuwachunga ng'ombe wao kutokana na ukosefu wa mfanyakazi mzuri. Halafu siku moja anamuona mtu anayetembea kwenye mvua bila kuguswa na tone la mvua. Anamshawishi mamaye wamwalike mtu huyu nyumbani. Mgeni anakubali kuandikwa kazi na Dora anarudi shuleni. Mtu huyu, Okungu, anaishia kuwa na vipawa vya ajabu ambavyo vinaisaidia jamii ya akina Dora kwa njia kubwa. Hii ni mojawapo ya hadithi tatu za ku...

CHF 29.50